Feb 2, 2007

The 'un'grad Grad-contd

Hii ilitokea kabla ya mass morning ya grad!
Ke: Nauliza hivi, ulivyovaa ndivyo tulivyoagana jana?
Me: Usimind mbona mambo madogo. Ile ingine ntavaa baada ya mass, c unajua tena!
Ke: Aka! nnchosema kabadilishe au nkumind asa ivi*&^%$#
Me: Poa basi niko na masela unnrusha au we huoni?
(Sasa ndugu msomaji nsaidie kumalizia haka ka dialogue)
Ke:......
Me:.....
Shoto kule ni Emily Macha na misez Veronica Mahaja

No comments: