Feb 2, 2007

The 'un'grad Grad-contd


Siku ya grad nlikuwa na cam, ndugu yangu askwambie mtu kalinipa shida sana hasa kupata pics za watu important kama liMbwambo(kulia) shot kabisa ni Digna-deg 2 na Emma.
Yeye: Oya Nderu ntakubonda #$%^&* zako!
Wao: Mwache apige afu tunataka tuone tutatokaje! Eti utaziprint?
Mimi: Mwana tulia basi, weka na pozi afu tuone ztatoka vp mbona unataka kumind ishu zenyewe laini tuu....

No comments: