Apr 23, 2007

Sanaa ni Kioo


Sina hakika lakini nafikiri bado unamkumbuka Bi. Mkora wa Majira, gazeti huru la kila siku. Mcheki hapa! Yuko full ooi!

Apr 13, 2007

Ze Dustbin!

Ndugu wadau haka kaPasaka kanakoishia-ishia nilikuwa mgombani aka Moshi. Leo naandika kwa sababu kuna vitu viwili hivi nilivyoviona nataka ku-share.
Kwanza, usafi. Inawezekana na ninakubali kuwa Moshi ni kamji kadogo, pia hakana population kubwa hasa ikifika jioni kwani waChagga wote hukimbilia Machame, Marangu, Kiwoso, Mwika na kwingineko kulala lakini jamani Moshi kusafi. Kilichonivutia zaidi ni hawa akina mama wauza ndizi mbivu. Wako wengi siku hizi pale Moshi. Wanatembeza ndizi zao kichwani mji mzima. Wao tofauti na sehemu nyingine, ukinunua ndizi na ukaonyesha dalili kwamba utaila hapohapo, watakusubiri umenye, ule halafu wachukue ganda. Nilimuona mmoja kabeba ndizi kwenye sijui tenga lile? Pamoja na maganda yake. Halafu akafika kwenye “dustbin” (Kiswahili hapa nini?, kopo la taka?; kiwekea taka?; Msaada kwenye tuta!) nakumbuka ilikuwa ni pale Kibo Coffee Bar, akasimama aka-unload maganda aliyokusanya kwenye mizunguko yake akaondoka. Umombo hapa ; I was really moved!

Pili, vitambulisho kwa chingaz pale bus stand. Kumbe hili nalo linawezekana, kuwawezesha vijana wajasiriamali kutambulika kama waajiriwa wengine. Pale kituo kikuu cha mabasi wana kautaratibu ambako kamenifurahisha. All chingaz aka wamachinga aka marching guys/ladies wana vitambulisho na sare? (uniform). Wauza mkate, wauza matunda wote, moja wanavaa makoti (kama yale ya waganga) meupe au hudhurungi mgongoni ymeandikwa kwa maandishi makubwa:

  • Muuza mikate Stend: Fuata sheria za Stendi
  • Muuza matunda (ndizi?): Fuata sheria za Stendi
  • Chinga Room No. XX: Fuata sheria za Stendi

Mbili wana vitambulisho vyenye picha, jina na stamp ya meneja wa stand. Safi hiyo!
Mimi nafikiri hii ni changamoto kwa town councils, municipalities na city councils nyingine hapa TZ na East Africa kwa ujumla na pia kwetu cityzens kwamba usafi unaanza na sisi wenyewe. Halafu baadae waje site (soma ilivyo sio neno la kiIngereza) au manispaa.
Kalaghabaho!!!

Mar 23, 2007

AFTER LONG!

Hullo outta there! It has been long since I last wrote phew! My fault? May be! Well, I had this two-week time stuck up for the Nashunal diploma in Education Exams and then goes to this other side of the country where Internet is an alien thing. After a long walks and fruitless effort over getting a job, I finally struck one at Edmund Rice Sinon Secondary School in Arusha. I’m yet to get settled. Lots to do, plan, write, mark, just a hectic of a thing!
So wadau, be informed that I’ll be coming to you live from ERSSS in A-town. I’m getting to know around and I think there will be much to talk about over few days.
At present I’m teaching something like 25 periods a week. Geography in F.3 D, Civics in Form 3 (About 200 kids!) and English in Form 4 B. To be honest I never wanted to do any Civics whatsoever, but well I’m doing it. Be told, the thing is boring and I really hate it and it does hate me too, equally!

Feb 8, 2007

The 'un'grad Grad-new

Don't be suprised and think i was enrolled for a degree programme somewhere and i did not tell you.
Its just a 'kokoto' you know dis days even in kindergarten they are wearing this big, black, ugly, unfitting gown. @@##$%^^**&&Y(*((

Feb 4, 2007

The 'un'grad Grad-contd


Wakati wenzangu wakiwa wanajaribu grad gowns zao mi nlikuwa niko kwenye display ya Geo. Huyu mzee nnamwelezea kuhusu kutumia ICT in Geo teaching and learning. I sometimes wonder I've got this very serious looking face that I'm afraid to take photos of me.

Feb 3, 2007

(Ma)geuzi/pinduzi ya Web 2.0

Siyo tu kwamba sasa webuni hakuna mmiliki, bali ni juu yako wewe na mimi kuangaza na kujidai.
Lakini ni nini hasa, hebu jifunze hapa

Feb 2, 2007

The 'un'grad Grad-contd


Siku ya grad nlikuwa na cam, ndugu yangu askwambie mtu kalinipa shida sana hasa kupata pics za watu important kama liMbwambo(kulia) shot kabisa ni Digna-deg 2 na Emma.
Yeye: Oya Nderu ntakubonda #$%^&* zako!
Wao: Mwache apige afu tunataka tuone tutatokaje! Eti utaziprint?
Mimi: Mwana tulia basi, weka na pozi afu tuone ztatoka vp mbona unataka kumind ishu zenyewe laini tuu....

The 'un'grad Grad-contd

Hii ilitokea kabla ya mass morning ya grad!
Ke: Nauliza hivi, ulivyovaa ndivyo tulivyoagana jana?
Me: Usimind mbona mambo madogo. Ile ingine ntavaa baada ya mass, c unajua tena!
Ke: Aka! nnchosema kabadilishe au nkumind asa ivi*&^%$#
Me: Poa basi niko na masela unnrusha au we huoni?
(Sasa ndugu msomaji nsaidie kumalizia haka ka dialogue)
Ke:......
Me:.....
Shoto kule ni Emily Macha na misez Veronica Mahaja

The 'un'grad Grad-contd



Tuimbe wote;
Moja, mbili, tatu twende kazi.....
Suuupu ya kuku wa kienyejiii ni taaamu sanaaaa....
Hata umle mkavu ni tamuuu saaana......

IPCC reports today on Global Warming

Today in the news it’s all about ‘global warming’, ‘climate change’ and of course ‘IPCC’. Its not that the terms are new, it’s because it’s now or never.

The concern: the report by the IPCC, formed in 1988 by the UN, it is tasked to carry out studies on the causes, impacts, and propose practical solutions as to ‘climate change’ (the term is considered to be more ‘appealing’ not as scary as ‘global warming’). Today in Paris the panel after consultations that lasted for some 4 good days issued their long awaited report and as expected, placed the blame on the ‘humans we’ ,for unscrupulous we are, have fueled the trend with our greed, ignorance, lustfulness. The world is energy hungry. Our economies depend on fossil fuel. And yet some wouldn’t buy the call to minimize, to switch to alternative cleaner, efficient energy sources, America, the cesspool, being one of them. Shame on you. The big USA, Russia and much of the Western Europe plus the emerging economies of China and India are the major criminals.

As Time and Newsweek have reported China, for instance, depends wholly in power generated from coal-fired power station. And we know how good coal can be.

Scientists know and have confirmed that climate change isn’t as new but the speed that is witnessed at this time is the problem. Climate change has been there since time immemorial and that’s why we don’t have dinosaurs no more and lot other creature and plants.

Now the problem is at the new study which was conducted by more than 60 scientists from all over the world. In less than 90 years to come there would be an increase of around 1.1 degrees Celsius to 6.4 degrees Celsius!! Dead we be!!

Now should we run, move to an alien planet? Or we stay and face the results our mess. It has to be everybody’s role and concern to do something for the good for our lovely sick Earth. For centuries she has protected, fed, enrich us without grudges, now what are you doing to see her not perish but continuing to flourish and be a good place to live for you and the coming generations? May be the damage cannot be repaired but we halt the destruction.

It can be done; you just have to play your part!!


Jan 31, 2007

Jan 23, 2007

Eti, anasoma hapo kweli

Asikwambie mtu wala hasomi chochote huyo anazuga tu time zisambae. Ilikuwa Sunday jioni hivi! We fikiria tu with reality day kama hiyo...
She's Basilisa mi big flend and MWUCEs librarian.

Jan 21, 2007

Ima and 'Shem':Karibu!!


She came with Ima (guessed anything yet?) Basi when she was browsing Ima akaamua kujichimbia na gazeti kunako makochi makali ya library.
Hii shoot ala hakuistukia. Comment on pozi if you can!

Introducing Maria (Mary?)
Hapa ni Maria, humjui lakini ntakwambia next taim. Ka email kake kalikuwa kamekufa akakafufua na kutuma bonge(sijui niseme ndefu?) la email. Safi hiyo!



Jan 17, 2007

Of Being 'Africanist'

I saw this in the Kenyan daily; ‘The Standard’ dated Monday, January 15th 2007. Nikaona bora ni-share ili mchangie. Me? Well, I think it holds water. It has touched what I always battle with my old man, a veteran teacher-cum-inspector and area commissioner. Africa really needs more of the Mr. James Shikwati type. Kwanza hebu isome afu…post some comments.

It’s an interview so it starts with a question, well framed I’d say.

Too much wealth, yet so much poverty

Q. Aren’t there good jobs any more?

A. Education systems during the colonial times were designed to produce civil servants for the government. After Independence, none of our governments sat down to reform the education sector, so many graduates have come out of school expecting public service jobs.

In Africa, the majority of people want to get a job with the UN because that means a big car and a nice house. (a good point here!) Let us create jobs. We should teach people that we have the responsibility to be business people. We have the responsibility to solve our problems instead of relying on the international community.

Q. What really contributes to Africa’s poverty?

A. We have received a lot of money but we are still talking about poverty. This is very confusing. Many African countries are still talking about tackling the same problem of 50 years ago. The Millennium Goals are promises African leaders were giving when we got independence, but this time thinly veiled. The whole aid debate is about shutting down the concept of letting somebody else fix our problems, and promoting one where we take responsibility for our problems---we are the ones with the problem, so we must fix it. (Applause!!)

Q. Do you believe in the so-called African solution for African problems?

A. I agree with this statement if it means getting Africans to solve their own problems. But this does not necessarily means there is an African solution. If, for instance, we have seen Slovenia solving its water problems, soil erosion, then it would be stupid for Africans to say, ‘we won’t take that solution, we have to invent own.’ The idea is not that Africans should reinvent new ways; the point is we should be solving our problems.

Jan 16, 2007

Drivers be 'eyes'


Hii nafikiri nimeitoa kwenye gazeti la The Sun la U.K. Sijui ni wapi hapo!!

The Episode:Joji Kichaka v. Saa-damu

Hii mimi imenishtua na kunishangaza. Eti, si death sentence a punishment for all who kill their fellow human beings. Good asa mi nnavyoelewa punishment should teach a lesson to the doer of the action and also to the public not to do the same lakini ukiua afu nawe ukanyongwa utakuwa umejifunza nini? Afu tutakuwa tunawafunza nini watoto. Usishangae mtoto kaibiwa mdoli naye akaua si nyie watu wazima mnaua vilevile!!!
Sasa baada ya Saddam nduguze nao wamefuata . Mmoja akawa miscalculated mpaka shingo ikang'oka . Sijui lakini nafikiri its too bad. Soma mwenyewe
Way last week I vowed not to watch, listen or read news sasa we kila siku ni Iraq, Somalia, Darfur, War, hangings, coups, dictators aagh me is now tired.

Some useful stuff!!

Why you should (must?) use the Internet…

Internet provides current News and Information as you want and more!

E.g. will the execution of Saddam be a solution to Iraq problems?
Is the US a world police? Has Iran stopped uranium enrichment for nuclear production that is threatening to the world peace and stability? What is all about the proposed East Africa political federation, when will it be operational and how you can contribute to its cause.

Good for your study Enhancements and Proofs.

Become confident with your subject contents accompanied with logical proofs. Enrich yourself with all current, up-to-date changes in every field e.g. Why Pluto is no longer a planet, Sigmund Freud is not dead in Psychological applications, Scientists studying DNA have discovered how to remove unwanted hereditary genes, and how to solve Linear programming through shortcuts and many more!!

Advanced, world-class virtual Communication

Send your friends, relatives and just anybody e-mails, Chat with people all round the world, make phone calls, send and share your holiday photos, buy and sell items…… and lot more.

Publicize yourself to the world, be known and heard!!

It is easy and sometimes free; you can create your own website, contribute to Wikipedia and become a , create a blog, get tagged @ tagged.com, or get to know where your friends are @ wayn.com. You too can do that!!
Share your hobbies, interests, ideas, discoveries, visions and just anything to the world.

The World is wide but made smaller!!

Globalization is speedy and doesn’t wait for anybody. Brace up. In this globalized village people are becoming closer and closer. You can take a virtual tour to any location in the world while seated at your desk and even more…

Kudos to Araphat' Mzee wa Migongo' the above was to sensitize MWUCE students to get use of the internet service at the college!! Good job man!!

Nov 11, 2006

MWUCE style





This was what we called ‘Curriculum and Teaching Workshops’. On the picture I was demonstrating on a topic called ‘Problem Solving’. We were presented with a well defined problem and be told to solve it using fewest, crude, materials. The problem I’m dealing with in the photo required that I make square box using none other materials than 1 metre of manila card, 20 cm of masking tape, a pair of scissors and thats all, that could carry/bear the weight of three kgs. without altering its shape. It was tough but I and others managed. Others in the picture are; (L)Peter G. Kafumu (Phy and Math) and Rafael Matembe (Chem and Bio)

MY Beautyful college!!
Waw!

This is the place MWUCE.
I'll soon be missing this lovely place
You see we've even have the roof of Africa at our backyard,
look how graceful she is!
ENJOY the rest
In the fore ground is the library and the computer lab where I'm working from.
Tanzania na education yetu= Mchezo wa kuigiza!
Jamaa mmoja Karl Marx huyu huyu unayemjua, ambaye sisi wa Education tunamstudy kwenye Sociology, anasema endapo mtu anataka kujua the position of the teacher in any society one must look at
  • the value his/her society places in education
  • the organization of the education system of that society
  • the training required for a teacher
    and;
  • the kinds of pipo likely to be attracted to his/her occupation
Sasa my problem is not that teachers are not respected in Bongoland!
Hebu fikiria hii, ili mtu ateach primary school lazima awe na grade III A, GOOD! Lakini huyu mtu ndiye yule yule aliye fail form four. Nina maana kwamba ukipata div. two mbaya au three form four, you qualify to go to teaching college vivyo hivyo kwa A-level ukifelifeli basi utaenda kuchukua education. Tatizo ni kwamba hii negative notion imekuwapo toka longtaim hadi inafikia mahali mtu ukisema unasoma education unaangaliwa kana kwamba umedunda f.4.
We should agree that if we really want to prepare a nation of trained, educated individuals lazima tutakuwa careful kuhakikisha our pipo are given the best education the state can offer using the best teachers possible. Ni aibu kurecruit walimu kutoka Kenya kuja kufundisha curriculum ya Tanzania.

KUPIGIKA!!!
Hii niliishuhudia majuzi kunako ITV news eti walimu huko Tarime(Mara) wakiwa wamependeza kwenye matenge na malemba yao ya Ki-naijeria na original wax za Holland huku vidume vikiwa vimejaa na 'profile' zao na makoti ya suti ya mtumba, wameandamana benki. Kisa mshahara umechelewa kuingia. You know there are pipo who despise and insult HakiElimu kwamba ni wachochezi kumbe masikini hawa akina Rajesh know what they are saying and they've gone to the field for it. Sijui Mungai alijisikiaje aipoona ile hali!!! Walimu hawana kiu na mbado you are expecting much from them, really!! Be eyes.
Ipo hii nyingine; ni kuhusu hawa wa 'Crash-programme.' serikali haitasema lakini najua haikufanikiwa. Unaona bwana, karibu 1500 ninaestimate hawakuripoti. Mdogo wangu Imma ni mmoja wao; ktk shule aliyopangiwa huko Upareni ilitakiwa waende wa3 lakini wameripoti wa2, pale Ifati sec. wa3 karipoti m1 na rafiki yangu Rawlings pale Bomang'ombe karipoti peke yake kati ya wa3 waliopangwa. Government money spent well!!! kudos
Halafu bado ipo kali, umemchukua mtoto wa watu ndiyo kwanza katoka form six umemtrain for a month or so, unampeleka kunako shule wapi huko sijui na bado humlipi mshahara kwa more than 3 months eeh!
I gets me nuts!