Dec 12, 2008

Mezquita





Hii ni landmark maarufu sana hapa Cordoba, in fact ni kama alama ya Cordoba, yaani huwezi kuzungumza kuhusu huu mji bila kutaja "Mezquita". Mwanzoni, historia na archeology zinadai ilikuwa ni "cathedral" ambalo baada ya uvamizi na conquest ya Wislamu (Waarabu?) walibalisha matumizi na kuwa msikiti maridhawa. Wakristo waliwashinda na kuwafukuza Waarabu (Moors) hao kama 1200 hivi na ku-regain jengo hilo ambalo mpaka sasa ni "catedral" ya dayosisi ya Cordoba.



No comments: