Dec 12, 2008

Sherehe...!


Cerveza (biere) zimekolea hapo ni kama glass ya 8 hivi, imnimwagikia kunako trousser, wananiambia ni alama kuwa sherehe iko pwa! Asikwambie mtu.
Hata sikumbuki nilimwambia nini vile...


Kama vile na-brush skills? Hamna kitu.....

Moshiiii! Mwanaume watu mitaa hii wanakula mafegi Mungu anajua!

No comments: