Dec 12, 2008

Nakam Back

Kuna waliofikiri nitazamia, aah wapi! Ya huku nimeyaona na ninafikiri ni bora kula sahani moja na mafisadi wenzangu huko hom kuliko ku-stay mitaa hii. Kwa hiyo esta mañana nakwea pipa toka Madrid to Amsterdam afu baadae naunganisha mpaka KIA. Kwa hiyo tukutane holidei nyumbani, kama kawaida nakwenda kwa hija Kilema.

No comments: