Kweli kazi ipo!Halafu mlete ubishi, eti ualimu Kazi?
Mi sijui sana lakini hilo jibu lina look korektle muno hadi nakuwa konvinsd!

Ndugu wadau haka kaPasaka kanakoishia-ishia nilikuwa mgombani aka Moshi. Leo naandika kwa sababu kuna vitu viwili hivi nilivyoviona nataka ku-share.
Kwanza, usafi. Inawezekana na ninakubali kuwa Moshi ni kamji kadogo, pia hakana population kubwa hasa ikifika jioni kwani waChagga wote hukimbilia Machame, Marangu, Kiwoso, Mwika na kwingineko kulala lakini jamani Moshi kusafi. Kilichonivutia zaidi ni hawa akina mama wauza ndizi mbivu. Wako wengi siku hizi pale Moshi. Wanatembeza ndizi zao kichwani mji mzima. Wao tofauti na sehemu nyingine, ukinunua ndizi na ukaonyesha dalili kwamba utaila hapohapo, watakusubiri umenye, ule halafu wachukue ganda. Nilimuona mmoja kabeba ndizi kwenye sijui tenga lile? Pamoja na maganda yake. Halafu akafika kwenye “dustbin” (Kiswahili hapa nini?, kopo la taka?; kiwekea taka?; Msaada kwenye tuta!) nakumbuka ilikuwa ni pale Kibo Coffee Bar, akasimama aka-unload maganda aliyokusanya kwenye mizunguko yake akaondoka. Umombo hapa ; I was really moved!
Pili, vitambulisho kwa chingaz pale bus stand. Kumbe hili nalo linawezekana, kuwawezesha vijana wajasiriamali kutambulika kama waajiriwa wengine. Pale kituo kikuu cha mabasi wana kautaratibu ambako kamenifurahisha. All chingaz aka wamachinga aka marching guys/ladies wana vitambulisho na sare? (uniform). Wauza mkate, wauza matunda wote, moja wanavaa makoti (kama yale ya waganga) meupe au hudhurungi mgongoni ymeandikwa kwa maandishi makubwa:
Mbili wana vitambulisho vyenye picha, jina na stamp ya meneja wa stand. Safi hiyo!
Mimi nafikiri hii ni changamoto kwa town councils, municipalities na city councils nyingine hapa TZ na East Africa kwa ujumla na pia kwetu cityzens kwamba usafi unaanza na sisi wenyewe. Halafu baadae waje site (soma ilivyo sio neno la kiIngereza) au manispaa.
Kalaghabaho!!!
The concern: the report by the IPCC, formed in 1988 by the UN, it is tasked to carry out studies on the causes, impacts, and propose practical solutions as to ‘climate change’ (the term is considered to be more ‘appealing’ not as scary as ‘global warming’). Today in Paris the panel after consultations that lasted for some 4 good days issued their long awaited report and as expected, placed the blame on the ‘humans we’ ,for unscrupulous we are, have fueled the trend with our greed, ignorance, lustfulness. The world is energy hungry. Our economies depend on fossil fuel. And yet some wouldn’t buy the call to minimize, to switch to alternative cleaner, efficient energy sources,
As Time and Newsweek have reported
Scientists know and have confirmed that climate change isn’t as new but the speed that is witnessed at this time is the problem. Climate change has been there since time immemorial and that’s why we don’t have dinosaurs no more and lot other creature and plants.
Now the problem is at the new study which was conducted by more than 60 scientists from all over the world. In less than 90 years to come there would be an increase of around 1.1 degrees Celsius to 6.4 degrees Celsius!! Dead we be!!
Now should we run, move to an alien planet? Or we stay and face the results our mess. It has to be everybody’s role and concern to do something for the good for our lovely sick Earth. For centuries she has protected, fed, enrich us without grudges, now what are you doing to see her not perish but continuing to flourish and be a good place to live for you and the coming generations? May be the damage cannot be repaired but we halt the destruction.
It can be done; you just have to play your part!!


Introducing Maria (Mary?)I saw this in the Kenyan daily; ‘The Standard’ dated Monday, January 15th 2007. Nikaona bora ni-share ili mchangie. Me? Well, I think it holds water. It has touched what I always battle with my old man, a veteran teacher-cum-inspector and area commissioner.
It’s an interview so it starts with a question, well framed I’d say.
Too much wealth, yet so much poverty
Q. Aren’t there good jobs any more?
A. Education systems during the colonial times were designed to produce civil servants for the government. After
In
Q. What really contributes to
A. We have received a lot of money but we are still talking about poverty. This is very confusing. Many African countries are still talking about tackling the same problem of 50 years ago. The Millennium Goals are promises African leaders were giving when we got independence, but this time thinly veiled. The whole aid debate is about shutting down the concept of letting somebody else fix our problems, and promoting one where we take responsibility for our problems---we are the ones with the problem, so we must fix it. (Applause!!)
Q. Do you believe in the so-called African solution for African problems?
A. I agree with this statement if it means getting Africans to solve their own problems. But this does not necessarily means there is an African solution. If, for instance, we have seen